Jirani yangu alipaua mwaka Jana mwezi Mei kwa mabati yenu kinglion rangi ya charcoal Grey. Hivi tunavyozungumza bati imekuwa nyeupeeee.
So kinglion ni hovyo tu ndugu yangu. Tena hovyo kabisa. Hii nimejionea mwenyewe kwa macho yangu. Hovyoooo!
Nikipiga max cover kwenye ka mjengo Kangu sababu ya uchumi.
Ila kama uchumi uko vizuri, vesertile inapendeza zaidi. Kama uko vizuri weka vesertile ya mchanga mchanga Achana na romantile
Sent from my vivo 1938 using JamiiForums mobile app
Yeah alipiga hesabu bati 177 mwisho wa siku zikatumika bati 155. Zikabaki bati 22 na kila bati nilinunua 37,000/=
Shilling laki nane wakanitia hasara ambayo walau ningechonga hata ma grill.
Wewe ndo mshamba kwa kuona uchaguzi wa wenzako wa kishamba wako ndo bora zaidi.
Wewe kama unapenda ndogo ni wewe. Waache wanaopenda kubwa wafanye wakipendacho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.