anaoa mzaramo kama buguruni kwa Mnyamani mtoto wa mzee Chaurembo naona Buguruni kwa Mnyamani atakuwa na furaha kubwa baada ya kuona hakuna mchaga aliyeolewa na Ridhwani amesikia kilio chako na kaona yaliyomkuta Mkapa.
Yebo yebo acha kupendelea kitu kwa vile ni kabila moja hata mimi natoka mkoa wa DR.Masau, kama ana uwezo wa kurudi Marekani angekwenda haraka kuliko kushinda kwenye press conference kuomba kusaidiwa Pango, unajua kuwa kuomba ni jambo la aibu labda uwe huna njia nyingine.
Naona wazi na dhahiri...
Chadema wanataka kuonekana kama source ya information hapa JF na kuna wanajiona hivyo. lakini kwanini asiulizwe Said Yakub ambaye ni mwanachama mwenzetu na alikuwa MC kwenye shughuli ya kuaga mwili pale bungeni Tv zote zilimuonesha.Mwanakijiji fanya juhudi ya kumsikia Said Yakub ili tupate...
Utaendelea kufuatilia utendaji wa NSSF kwani Sources zako zina utata, lakini umeshasema kuwa NSSF inaendeshwa kifisadi na ina viongozi wabovu. unaanza utafiti au linaanza jibu?
Mimi niliona mapema kuwa mzee mzima hapa kakwama baada ya kuzidiwa hoja akaingia na jina lake la BI SENTI 50 ili awa provoke kina GT na Mgagagigikoko,
Mara zote akikwama huwa anatumia jina hilo ili kuvuruga mjadala, alitumia jina hilo kumProvoke Chinga,masikini Chinga hakujua anaingizwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.