Recent content by Nungwi

  1. N

    Ridhwani afunga ndoa!

    anaoa mzaramo kama buguruni kwa Mnyamani mtoto wa mzee Chaurembo naona Buguruni kwa Mnyamani atakuwa na furaha kubwa baada ya kuona hakuna mchaga aliyeolewa na Ridhwani amesikia kilio chako na kaona yaliyomkuta Mkapa.
  2. N

    CHADEMA kwawaka Moto! Mbowe arudi Dar!

    Ajiuzulu Kwa Ukabila.
  3. N

    Mnyika, Balille, Rostam Aziz na kisa cha sms!

    Jamani kuweka simu za watu hadharani inafaa? naona itolewe kuweka heshima kwa Rostam,hata kama hatumpendi.
  4. N

    Mnyika, Balille, Rostam Aziz na kisa cha sms!

    Maandishi marefu sanaaaa kama Uandishi wa John Mnyika,KULIKONI?
  5. N

    Sakata la Dr. Masau: Msimamo wa Serikali na Hatima ya Taasisi ya Moyo (THI)

    Ina maana hata kontena alitaka asilipe Ushuru na kwenda kwa rais? basi yeye ni mtu wa vya bure, tumlipie na pango lake.
  6. N

    Sakata la Dr. Masau: Msimamo wa Serikali na Hatima ya Taasisi ya Moyo (THI)

    Yebo yebo acha kupendelea kitu kwa vile ni kabila moja hata mimi natoka mkoa wa DR.Masau, kama ana uwezo wa kurudi Marekani angekwenda haraka kuliko kushinda kwenye press conference kuomba kusaidiwa Pango, unajua kuwa kuomba ni jambo la aibu labda uwe huna njia nyingine. Naona wazi na dhahiri...
  7. N

    Sakata la Dr. Masau: Msimamo wa Serikali na Hatima ya Taasisi ya Moyo (THI)

    Alitumia jina la Kanisa ili apate misaada toka kwa wafadhili na kukwepa kodi hiyo ndio ilikuwa ujanja aliutumia Kairuki.
  8. N

    Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

    Wakizidiwa wanafungia members au wanafuta ujumbe.
  9. N

    Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

    Chadema wanataka kuonekana kama source ya information hapa JF na kuna wanajiona hivyo. lakini kwanini asiulizwe Said Yakub ambaye ni mwanachama mwenzetu na alikuwa MC kwenye shughuli ya kuaga mwili pale bungeni Tv zote zilimuonesha.Mwanakijiji fanya juhudi ya kumsikia Said Yakub ili tupate...
  10. N

    Sakata la Dr. Masau: Msimamo wa Serikali na Hatima ya Taasisi ya Moyo (THI)

    Utaendelea kufuatilia utendaji wa NSSF kwani Sources zako zina utata, lakini umeshasema kuwa NSSF inaendeshwa kifisadi na ina viongozi wabovu. unaanza utafiti au linaanza jibu?
  11. N

    Sakata la Dr. Masau: Msimamo wa Serikali na Hatima ya Taasisi ya Moyo (THI)

    Mimi niliona mapema kuwa mzee mzima hapa kakwama baada ya kuzidiwa hoja akaingia na jina lake la BI SENTI 50 ili awa provoke kina GT na Mgagagigikoko, Mara zote akikwama huwa anatumia jina hilo ili kuvuruga mjadala, alitumia jina hilo kumProvoke Chinga,masikini Chinga hakujua anaingizwa...
  12. N

    Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

    kapumzike kijana wetu tutakukumbuka sana kama Mwanaharakati na Mwana Mageuzi.
Back
Top Bottom