kwa kweli wamekitendea haki kipindi maana walikua wanagonga spana mpaka basi sina uhakika kama safari ijayo mwakilishi wa mamlaka ataenda kama alivyoenda leo..
Kiongozi umeniangusha aisee ingawa sishangai sana, IT wengi wanafanya vitu vya kawaida wanakata tamaa, tenga muda wako jifunze vitu kadhaa hasa computer programming chagua language mojawapo ya kuanza nayo inaweza kuwa python, php, javascript na zinginezo, mobile app jifunze java na zile zingine...
kwa wakazi walio jirani na viwanja (open space) vyema kutumia viwanja hivyo kufanya mazoezi, kwa wengine wa njia kuu na service road ni umakini zaidi unahitajika ila kuna swala moja huwa tunajisahau .. tunafanya mazoezi na headphones sauti iko juu mpaka usikivu na umakini unapotea tuwapo...
kwenye hizi subwoofer za pesa ndogo kuna kile kisauti kinaanza "Bluetooth is connected successfully", "line in" "fm mode" je inawezekana kikazuiwa kabisa yaani iwe kimya kimya pia ianze na sauti ndogo ..?
Kama ni mtumiaji wa android na simu yako ina memory card au una computer tafuta application inaitwa super backup utaweza kuhamisha kila kitu kwenye simu ya zamani weka backup kwenye memory card au computer yako.
Kisha install application ya super backup kwenye simu mpya itakuomba ku restore...
Aisee kitambo sana unanunua redio inakuja na cd ya game 300 ila zimerudiwa ndani ina contra, mario na mengineyo imagine unaingia internet cafe sio kwa ajili ya kutumia internet ni ile tu ucheze need for speed, road rush zile ngumi za mwendesha piki piki aisee .. Ford Indigo itabaki kuwa gari ya...
Kwanini tusubiri mtu kupiga simu? Hatuwezi kufahamu maslahi husika ya waliopo kituoni (wasimamizi) ingawa ni changamoto kwa watendaji kuogopa uwazi kuna haja ya kuongeza/kubadili kipengele cha mwisho wa safari kwenye stakabadhi mnaona kabisa kwamba watu wa kivukoni mpaka sasa wapo 300 kituo cha...
Sitaweza kuchangia sehemu zote ila suala la ukakamavu kwa vijana ni tatizo, hata vyakula tunavyotumia ni changamoto .. tunabaki kupiga kelele ugumu wa maisha na vitu vingine lakini gharama tunazotumia kwenye vyakula vya usasa ni changamoto ..athari zake zinaweza zisionekane muda huu ila kuna...
Umuhimu wa yeye kupitia hii kozi ni walau apate mwanga mathalani unatengeneza mfumo wa mikopo, usimamizi wa fedha nk inapunguza uhusishwaji wa kiwango kikubwa wa watu wa fani hizo .. ingawa watahusika kwa namna moja au nyingine.. changamoto kubwa ni wakati gani wanasoma.. mfano mfumo...
1. Kutembelea eneo kama mlimani city wale watu naowaona pale huwa najipa hope kwamba ipo siku soon na mimi ntatoboa ni suala la kukaza tu
2. Kusikiliza ala hasa za piano, guitar, violin, trumpet nk zile huwa huwa zinahamisha kabisa akili
3. Kwenda eneo la umma hasa sokoni kuona hustling za...
Kufulia kunaleta akili ya ziada, kuna zile hela huwa zinaanguka chini ya kitanda hasa sarafu 100, 200 au 500 sasa ukitaka kujua thamani yake siku ufulie mazima huwa zinatafutwa kila kona ya chumba.. unapitia nguo moja moja kujua kama kuna akiba yoyote hapo orodha ya watu wa kukusaidia inazidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.