Nauliza hv:
1:Hzo meseji Kule kwa Wateja wangu inatokea namba yangu ya simu Au Kuna code maalum?
2:Kwa mfano mm naishi Tanga hzo msg nikitaka ziende kwa watu 50000 wa Tanga tu Lakini namba zao sina je nitapata wapi namba za hao watu wa Tanga tu?
Mancity vs QPR 2012...Mancity anachkua ubingwa baada ya miaka kadhaa magoli yakiwekwa kimyani Na Aguero Huku upande wa pili man u dhidi ya sunderland ameshinda anamsikilizia Mancity apigwe Au atoe sare man u anyangue kwapa.
Dakika ya 85 channel ya canal sport wanaikata screen katikati kuonyesha...
Kwa sisi waislam tuafundishwa Mungu ameiweka Furaha sehemu mbili tu.
1:Kumtaja sana Mungu/kuabudu
2:Kuwa na mwanamke mzuri na MWEMA/MCHAMUNGU
Furaha imefichwa sehemu hzo mbili,na hii ni kweli.
Hata mseme nn hatuachi kuabudu Mungu aliyetuumba,wewe kma unaona ni upuuzi umekuja Na meli ni Sawa ila tu mkumbuke kufa utakufa Na utaenda kueleza hzo Akili za kuabudu mizimu Na mawe ulizipata wapi?
Yan shida yenu mturudishe Kwenye upuuzi wenu wa kuabudu mawe,miti Na mizimu?...Huu ni ujuha wa hali ya juu,hebu tuache Huu upuuzi.
Tunajua kwamba hii yote ni kutaka kujifariji kuaminisha watu kwamba Mungu hayupo ili uwe huru.
Yan ni hivi,
Mungu yupo
Kifo kipo
Siku ya hukumu ipo
Pepo Na moto...
Kabisa mkuu...yan watu wa Hivi wana unafiki wa hali ya juu,hv kma ni kweli jamaa alikuwa anatumikia jeshi la wazayuni hv atakuwa ameuA waoalestina wangapi? Hv wale palestines ni mawe?
Watu wamekaza tu "mtanzania mwenzetu" unafiki mkubwa
The power ndo kiboko ila inatakiwa utumie akili kubwa kukisoma maana kuna mahali kinakutoa kweny imani ya kuamini Mungu muumbaji.
Me kimenishinda pale kweny kushika jiwe kila usiku kabla kulala...kiufup kinasisitiza sn mtu kutoa shukran ila hakisemi kwamba hzo shukran uzipeleke kwa Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.