Habari wana JF,
Nimekutana na hiki kisa kwa mtu anayelalamika ana tatizo la akili. Yeye anasema kuna kipindi anaona mapichapicha ambayo hayaelewielewi. Yanatokea kwa kipindi kifupi tu cha sekunde chache haafu yanapotea na anakuwa kawaida. yuko vizuri tu na huwezi kuzania ana hilo tatizo.
Hebu...
nimekupata Alex The Great,
Dogo alifiwa na mama, sasa hakuweza kuvumilia hii issue. ilimwendesha saana.
Ni sahihi kabisa, ushauri wako naufanyia kazi.. naamini kuwa watu ndo wana majibu ya hili, hata Mungu anatumia watu.
Nalichukulian kwa uzito mkubwa.
Mshana Jr naomba tuwasiliane ukiiona hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.