Hii ishu iko serious ziku za karibuni, kuna Couple kama mbili za ndoa kabisa zinateseka sana. Couple ya kwanza wana miaka 9 bila bila na hii ya Couple ya pili wana miaka 5 nayo bila bila hakuna mtoto, mpaka jamaa namuonaga ana stress sana ishu ndogo tuu anaweza akakupandishia mpaka ukaona jamaa...
Wanawake wa Kisukuma mixer Mnyantuzu wanapigwa Chale aka Eleven mwili mzima hao, washirikina hatare halafu wao sasa wako comfortable na ushirikina kama Mdigo na Baiskeli.
Hao Wasomali na waethiopia ni ndugu zetu Waafrika, wako katika harakati za kuikimbia njaa na majanga mengine wanatafuta fursa za malisho ya kijani tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.