Ajabu ni kuwa hata watu wazima wana act kama watoto wadogo
Tubadilike kwa faida ya jamii na hadhi mtandao wetu
Mtu Ana comment kwa lengo la kupata sifa hajui kama kuna muda Ana umiza hisia za mtoa mada husika.
Kwa mujibu wa maandiko tuliyofundishwa na kuaminishwa toka utoto jibu ni ndio utumwa ulikuwa mpango wa Mungu bila kupepesa maho ila kwakua pia tunapenda kunena mema katika maandiko na imani za Mungu hili swala litafumbwa fumbwa na kupambwa kwa maneno mazuri ili kuonekana Mungu hakuhusika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.