"Nilikuwa na Mpenzi, tukabahatika kupata mtoto wa kiume,anakaribia umri wa miaka mitatu mwezi ujao, Kwa muda mrefu nimekuwa nikimwomba mzazi mwenzangu anipe mtoto akakae na wazazi wangu na hatimaye kuanzishiwa shule huko, kwa sababu naamini wazazi wangu watamlea mtoto kwa mazingira (ambayo...
Napiga Goti kuwaomba watanzania wote kwa siku ya leo wasimame imara kila mmoja wetu kwa Imani yake na wale wasio na Imani.
Tuepuke mijadara ya kidini na ile inayochochea uhasama, tutumie silaha yetu moja ya Upendo.
Nakuomba wewe unayesoma uzi huu, Kujifanya Mjinga siku ikapita kwa maslahi ya...
Wananchi wa Tarafa ya Namswea- Wilaya ya Mbinga waishio Dar es salaam walichanga pesa ili kununua vifaa vya maabara kwa ajili ya Ruanda Secondari. Mheshimiwa akatoa pendekezo kuwa atanunua vifaa hivyo na kwenda kukabidhi kwa Mkuu wa shule. Baada ya muda aliibuka na kueleza kuwa, amenunua vifaa...
Fazaa kwa bahati mbaya nilienda kusomea mambo ys Financial Analysis na Management Packs sasa hapakuwa na optional study ya humanware. Nadhani technical error ipo hapo.
Nilichoogopa alisema nitakupasua nachupa na ukizingatia yeye ni bonge fulani na mimi mwili umekomaa na baridi huko majuu na unajua afya haijarudi sawasawa. Na kazi ndop kwanza naanza kusaka hapa mjini ingekuwaje kaka.
I did a after event analysis nikaona nigumie mchanjo niukose hadhi yangu...
duuh hapa umenifumbua macho! Kumbe hii JF ina great thinkers .
Ebwana kama ndo hivyo basi. Thank you very much acha uvivu kwa analysis yako nzuri na inafumbua macho. Daaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.