Recent content by Nduna

  1. N

    Museveni swearing-in to cost taxpayers $12.5 million; EA Leader is this necessary?

    new fighter jets???? to battress their millitary superiority againt Joseph Koni's makeshift NRA army? OR he has receaved a devine revelation that after Ghadaff the next target is M7? to end his incumbency!
  2. N

    The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

    The battle for Libya is yet another demonstrations of the double-standards of western regimes, who are awash with the lust of resources found in poor nations. Their real motives are far from defending innocent people of Libya from being burchered by forces royal to Ghadaffi, but they are being...
  3. N

    Ubunge Tarime: Wagombea, Kampeni na Uchaguzi

    Habari kutoka Tarime linasema sasa hivi mji mzima ni chereko chereko tupu na maandamano baada ya msimamizi wa uchaguzi kutangaza ushindi wa nguvu kwa CHADEMA baada ya wagombea wake wa ubunge na udiwan kuibuka kidedea. Katika nafasi ya ubunge Chadema imeshinda kwa kura takribani 35,000 dhidi...
  4. N

    Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

    Nashangaa unafiki wa baadhi ya Watanzania. nchi km Uganda ambayo ina waislamu kiduchu imekubali kujiunga na OIC ili kuwanufaisha waislamu wananchi wachache wafaidike na manufaa kutoka taasisi hiyo, na hakuna hasara waipatayo kama nchi. Lakini hapa kwetu misaada ya kidini na kimaendeleo kutoka...
  5. N

    Je, ni sahihi Mwanajeshi na Polisi kutolipa nauli?

    NI aibu na fedheha km wanajeshi watakubali aibu hii ya kusafiri kwa dezo ktk magari ya abiria ya kiraia, wakati hata wenye ulemavu wa kupindukia, watoto wadogo na wa shule, pamoja na maiti wanasafirishwa kwa malipo. Kila mfanyakazi kwa nafasi yake ni muhimu sana..kwani kada yoyote ikikosekana...
  6. N

    The saga continue: Dili la kupeleka wagonjwa wa Moyo India

    Kadhia hiyo inahitaji uthibitisho ili isiwe watu wanavumisha kwa ajili ya maslahi ama chuki binafsi. Jana niliona taarifa ya habari ITV ikionyesha mapokezi ya watoto 20 waliopelekwa india kufanyiwa upasuaji wa moyo wakirudi salama baada ya operesheni zao kuwa za mafanikio. aidha wazazi na...
  7. N

    Tunamkumbuka Edward Sokoine - Mtu wa Watu

    Sina uthibitisho lakini kinachosemwa ni kuwa kutokana na ujasiri wake katika kuwatumikia watu hususan wa hali ya chini bila ya woga, Sokoinealijijengea umaarufu mkubwa na alionekana ni mkombozi wa wanyonge na mtetezi makini wa maslahi ya taifa. Jambo hilo liliwakera vigogo waasisi wa nchi...
  8. N

    Unakumbuka? - Miaka 10 Baadaye..

    Nakumbuka nilikuwa katika jengo la Haidery Plaza eneo la Posta Mpya. Ule mlipuko ulisababisha mtikisiko mkubwa katika jengo hilo, na hata kuhisi upepo ukipita kwa kasi kubwa, jambo lililowaanya watu waliokuwa ghorofani kuchungulia nje kwa mshangao kupitia madirishani
  9. N

    Unakumbuka? - Miaka 10 Baadaye..

    Ilikuwa hatari ambayo haikutarajiwa, na kuazia hapo uhusiano wa kimaisha nchini na duniani uligeuka, na hadi sasa unaendelea kusiganisha watu
  10. N

    "A Picture Worth a 1000 Words..."

    inasikitisha. ingesaidia kama kungetolewa maelezo ya ziada kuhusu kadhia hiyo..anaumwa nini, anatibiwaje na anahitaji msaada gani.
  11. N

    Who is guilty???

    both are guilty: Wife for her utterance reveals her infidelty, Husband's reaction confirm that he lays other people's wives.
  12. N

    Mtoto wa nje ya ndoa

    Kosa limeshatendeka na ni kosa kubwa kwa mila za kiafrika. Kwa hatua iliyofikia ni Bora ukakaa kimyaa, ila mwangukie mungu wako anayejua kila kitu . Kama kuchukua tahadhari ulipasaswa kuichukua mapema kama kutoa mimba ingali changa. Ukijitoa hadharani kwa sasa miongoni mwa athari ni kuwa Mtoto...
  13. N

    Coca-cola Hawalipi Kodi

    magazeti mengine kuhusu tukio hilo, km daily news wameripoti kuwa makampuni yanayodaiwa kutolipa kodi yamepewa na serikali msamaha huo km masharti yao ya uwekezaji, na mengine yanalipa kodi pungufu kuliko ilivyotarajiwa. Kwa hiyo tatizo ni serikali yenyewe na si makampuni hayo, kwa kuweka...
  14. N

    Natafuta Mme !

    Mwaga wasifu wako ili mume atakayevutiwa nazo ashawishike akutafute.
  15. N

    Attention Bodi Ya Mikopo Ya Elimu Ya Juu Kwa Wanafuzi(HESLB)

    Wenye ushahidi wa kadhia hiyo na waumbwage hadharani kabla ya kutoa hukumu. Isije ikawa tunajadili kitu ambacho hakipo, Ama kila upande wa serikali ya Muungano na ya SMZ zina majukumu yake katika kuchangia elimu, iwe ya juu ama ya kawaida. Km ni hivyo iwapo upande mmoja kwa sababu moja ama...
Back
Top Bottom