Amerika hawezi kukaa kando, yule ni mfanyabiashara kazi yake kuuza silaha. Hata vita vilivyopita vya dunia yeye ndio alikuwa msambazaji WA silaha. Mnafiki tu marekani na ndio fisadi No.1
Tena waambie watanzania wanaona kula ugali ndio kuwa na miguvu, watu wanakula pizza na burgers, na wanapiga kazi kama wendawazimu. Ila watanzania wakiona huli ugali basi sijui wankuchukuliaje
Ni wazo zuri lakini sidhani kama makonda na madereva watalikubali Kwa sababu pesa yote itakuwa inaenda kwa tajiri moja kwa moja. Wakati sasa hivi konda ndio anapeleka hesabu kwa tajiri na kinachobaki wanagawana, kwa mfumo huo itabidi tajiri ndio awalipe wafanyakazi wake.
Mimi naona kuwe na...
Kuna rafiki yangu lilimkuta jambo kama hilo, alipomaliza form six (hakuwa na vigezo vya kuendelea degree) mama wake akapigiwa simu na chuo kutoka Arusha akaambiwa mwanao amechaguliwa kujiunga na kozi ya clinical medicine, lakini huyo rafiki yangu hakuomba chuo Arusha na wala hajawahi kufika...
Asilimia kubwa ya nafaka inayotumika Zanzibar ni mchele nao unatoka nchi za nje kama Pakistan na India na unauzwa bei chee kuliko mchele kutoka Tanzania bara. Hata Sukari Zanzibar ni rahisi kuliko bara na wala Zanzibar hakuna kiwanda kikubwa cha sukari. Kwahiyo kusema kuweka kodi kubwa Kwa mazao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.