Au tufanye kuna matatu mkuu, [emoji23][emoji23]
Inawezekana ana ujauzito sasa anajua tu akikwambia utumie kinga hautotumia sasa anaweka kumbukumbu sawa ili baada ya wiki kadhaa akwambie ana ujauzito wako na alikwambia tangu siku ile utumie kinga we hukutaka hivyo unawajibika 100% kwa kila kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.