hizo stori za Kilokole zinawadanganya sana US kashasema hatatoa msaada anawaacha Wazayuni wajinyee peke yao. Nawakumbusha Mwarabu ana roho mbaya walokole msije kulia lia humu
Mama Samia ni kama anahujumiwa au wahuni wamemzidi ujanja.
Kwa sasa hata mifumo ya GePG inasumbua balaa mpaka nahisi wahuni wanafanya kusudi kukwepesha fedha mbona kipindi cha Jiwe haikuwa hivi?
Ishu za umeme ni kama wahuni wanamhujumu Mama
Cha ajabu Mama hachukui hatua naye analalamika kama...
Wakati unaandika mambo mengi sana ya kejeli kwa wanawake mfikirie mama yako pia.
Lakini pia kumbuka Mungu hakuwa mjinga kumuumba mwanamke.
Dunia bila mwanamke ingekuwa na stress sana😂😂😂
Kama wewe uko serious sana na maisha twambie umesaidia nini nchi?
Maisha yetu ni ya kawaida na ya muda mfupi sana jitahidi kupunguza protocol na masharti uishi kwa amani na raha
Wewe na hicho chama chako ndo mnaharibu nchi alafu unakuja kulalama hapa.
Watu wengi huko hamna uwezo hii nchi haitaendelea kamwe. Tukisema mnatuua sasa mtaua wangapi? na nyie mtakufa tu hakuna mahala mtenda
Dini ni moja ya majanga tuliyoachiwa Waafrika. Mitaani usiku mnene watu wanahubiri na vipaza sauti unajiuliza watu wanapumzika saa ngapi? Misikiti inatumia vipaza sauti usiku mnene. Washauri wawe wastaarabu utakachoambulia pengine wanaweza kukukata shingo kabisa
Watengenezaji wamei brand
Wabongo wameingia mkenge nadhani jina lake limekaa ki slay queen na bei kubwa basi anayekunywa ana feel proud mpaka anaji selfisha anatuma mtandaoni.
Nilionja siku moja ila haina jipya jina kubwa bila cha maana kama demu pisi kali kwa bed unaziba pua[emoji125][emoji125]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.