JamiiForums Tanzania
Aiseeeee!!
Hivi inawezekanaje mtu akapiga kura bila shahada? Sasa kama mjumbe wa CCM anakusanya shahada za wapiga kura, je hiyo si njama ya makusudi ya kuzuia watu kutekeleza haki yao ya kikatiba? Hujuma ziko za aina nyingi, wanaweza pia wakawa wanakusanya shahada ili kuzuia wafuasi wa vyama vya upinzani...