ni kweli na ukichukua kubwa kuanzia aqual sense 5 5G kwa sasa ninapoandika hizi hakuna tool inayoweza kuvunja ulinzi wake kwa kutoa password ama Parten yake
Tengeneza inayohusu masuala ya kifedha kama vile paypal yaan iwe kama wallet unawez hifdh pesa pia unaweza kulipia vitu nk na kama utakwama uje tushlikiane apa
kwanza pole
pili kama upo kwenye kundi la maisha ya kawaida husimamii taasisi yeyote
haina haja ya kulinda hizo datta zako maaana sio mhimu hivyo hazina kudukuliwa
kudukua taaria ni za mtu ni jambo gumu kiasi sio kila mtu anaweza fanya
lakini kukiwa na umhimu wa taarifa zako kudukuliwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.