Politics: Yeye alikuwa mwenezi na aliwafokea mawaziri na wakuu wa mikoa na wilaya pamoja na watendaji wa Serikali, tusubiri mwenezi ajaye aje kumfokea na yeye 🤣🤣
Katika mradi ambao LOWASSA alishiriki kuusimamia kikamilifu kama waziri mkuu wa Tanzania kipindi cha serikali ya awamu ya nne ni:
1. Ujenzi shule za kata
2. REA - Umeme vijijini
3. Uchimbaji visima vijijini
4. Upungufu wa umeme nchini (mgao)
5. Ufugaji wa ranch
Tuongezee mengine
RIP legend
aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania na mgombea urais mwaka 2015 Kwa tiketi ya chadema na umoja wa upinzani ukawa Edward ngoyai LOWASSA amefariki DUNIA
Habari kamili kuwajia hivi punde
Wazee wa Kata ya Kwekanga Wilayani Lushoto Mkoani Tanga wamezuia chanzo cha maji kutokutoa maji hadi kufanyike tambiko mara baadaya ya Mkandarasi kwenda kuanza mradi bila kuwashirikisha Wazee hao.
Akielezea sakata hilo Meneja wa Mamlaka ya Maji (RUWASA) Wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga Mhandisi...
Nampongeza ndugu Burton mwemba Kwa kujipinda na kujenga nyumba wilaya ya kigamboni jijini Dar es salaam maeneo ya kisota kama anavyodai Ila pale ni maweni katika kauli zake anasema ameiheshimisha kigamboni Kwa yeye kujenga nyumba kigamboni Sisi mabepari wa huku tunamwambia aache ushamba na...
Leo ni siku ya kuzaliwa nguli wa Tiba za kisayansi za mwili wa binaadamu hususani moyo na figo si mwengine ni professor MOHAMMED YAKUBU JANABI
LONG LIVE MZEE you really helped our country and society
Tunakupenda Sana professor Janabi
Happy birthday [emoji512][emoji324][emoji512] hope...
SOMA KWA UMAKINI
Kuna kitu kinaitwa cellular adaptation.
Ukijua hii huwezi kununua dawa za kuongeza uume au matako.
Iko hivi cells za mwili wa binadamu ukiziweka kwenye stress iwe ya muda mrefu au mfupi zinafanya adaptation.
Na hizi adaptation ziko kama ifuatavyo:-
1. Hypertrophy
Hapa cells...
Mimi Nina watoto wakike wazuri balaa nitaishi Huu uzi still bado najifunza
One example the way jesca alivyomhuzunisha mshua mpka kwenda certificate ya education pale u-dom
Dah mungu atuongoze but my daughters ni wazuri balaa [emoji56]
Sent from my 21061119AG using JamiiForums mobile app
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Halima Dendego amewataka Wanafunzi wa Vyuo vya Kati na Vyuo Vikuu Mkoani Iringa kuacha tabia ya kuanzisha ndoa zinazodumu miaka mitatu ya masomo yao na pindi wanapomaliza masomo ndoa hizo huishia hapo jambo ambalo linapelekea Wanashuka hao kushuka kitaaluma.
Dendego...
Wanachama na Wafuasi wa Chama cha Republican Nchini Marekani wamelalamikia uamuzi wa uliotolewa na Mahakama Kuu ya Colorado wa kuondoa jina la Rais wa zamani wa Nchi hiyo Donald Trump katika karatasi ya kura ya uchaguzi wa awali wa Republican unaotarajia kufanyika mwakani 2024
Mahakama hiyo...
Tumetokaaa mbaaali tumemfuataaa DJ [emoji1787][emoji1787]
Tumetokaaa mbaaali Sanaaa tumemfuataaa DJ
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We Miso misondo umepigajee hapo
Sent from my 21061119AG using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.