Kampuni ya chuma na kutengeneza miguu bandia, kweli!?
Inashangaza kuona serikali inasomesha wataalam katika fani Fulani alafu katibu wake anakuja kusema bila kupepesa macho eti tanzania hatuna hao wataalam.
Jamani Tanzania kuna wataalam zaidi ya 50 wa viungo bandia ambao Wengi wao hawana ajira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.