Umenifurahisha "Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu ambaye kwa sasa ni Mwanamume wa Shoka, Shujaa wa Mapambano ya Ufisadi, Mtetezi wa Wanyonge na Jemedari Dr. John Pombe Joseph Magufuli"
Mkuu nakukumbusha: Zamani kanisa Katoliki lilikuwa linapata misaada kutoka nje kupitia Wamissionari wa Mashirika palipali (mfano White Fathers). Hivyo makanisa mengi yalijengwa na Wamissionari hawa kwa kutumia fedha zao.
Siku hizi Wamissionari wa nje wamepungua sana, pia misaada imepungua kwa...
Soma vizuri hiyo barua unayosema Wizara ilikuwa inafahamu kuwa bei ya umeme imepanda. Hiyo barua ni ya kuwasilisha mapendekezo ya kupandisha bei, na siyo ya kuwasilisha bei iliyopendekezwa na EWURA kwa Wizara. Tena hata hiyo barua Wizara imepewa nakala kwa taarifa tu.
Hoja hapa ni:-
1. Mara...
Mkuu uko sahihi. Kuanzia Shule ya Msingi, Sekondari, mpaka Chuo Kikuu, Wengi wa Waalimu waliopo ni porojo tu. Hawafundishi inavyotakiwa. Bila juhudi ya mwanafunzi, hawezi kufaulu. Suala la Waalimu liangaliwe zaidi na sio makelele tu
Je ni nzuri kudanganya, wakati huyo alikuwa mwenzao wanamfahamu?. Familia kudanganya imekosea na ndio utakuwa mwanzo wa kugombea mali za marehemu, kwa kigezo kuwa hawatambuliki. Ni Bora amemwaga ugali kabisa baada ya wanafamilia kumwaga mboga. Tusubiri kasheshe ya Wajaruo, walivyowabaguzi, Time...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.