Huyo afisa alitumwa kutoa taarifa,Kuna kambale wako ofisini ambao ni Johari na Filikunjombe,tangia Johari asifiwe na Magufuri kuwahujumu fastjet Basi no mwendelezo uleule wa hujuma.
Thubutu mkuu,hii ni janja ya CCM kupunguza wananchi kwenda Zakheem,hawarushi hao ni propaganda tu na Jambo msilojua wanataka akianza lisu kumpiga mawe Meko wakatishe matangazo.
Wadau nimekuwa nikifuatilia kitambulisho changu cha uraia tangu mwaka jana, Kila siku umekuwa danadana.
Kilichonifanya nilete Uzi huu no uzembe wa mamlaka pale unapokatika umeme kushindwa kutimiza majukumu yao kwa kisingizio cha kukatika umeme wakati wanayo standby generator. Nilipouliza...
Siyo kweli walimu wengi hapo NIT wametoka hapo hapo NIT,Enewe hujui huyo Dereva muda mwingine anatakiwa kupeleka mzigo Zimbabwe atabonga kiswahili huko?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.