Miaka ya hivi karibuni Tanzania imekuwa na ongezeko la watumishi wengi wa umma ambao wanaongeza elimu ili kujiweka katika nafasi nzuri za kuwa viongozi katika ngazi mbalimbali za serikali. Asilimia kubwa wakiwa ni watumishi wanaowania Masters na asilimia iliyobaki ni PhD.
Hii imepelekea mfumo...
Ukiona Software Iko Free Haina Ubora Ukilinganisha na Zile Paid Ones Hiyo KDENLIVE Ina 84 Mb Unalinganisha na Features zilizoko kwenye Software ya 889mb Mpaka 2GB ? Anyway Kulingana Na Mahitaji ya Mtu Ila Ushauri Wangu Hizo Ni Best Endapo PC Ina Low Spects na Pia Kwa Mtu Mwenye Ujuzi...
Adobe Sikushauri Kwa Huo Ukubwa Wa Pc Yako Inaweza Kuwa Sloo
1.Camtasia Studio x
2.WondershareFilmora
Zinapatikana Full Cracked Ndani Ya GetInToPc.com Ni MB Zako Tu.
Pograming ni kwa mtu ambaye anataka Kwenda kwa Undani Zaidi Kuhusu Applications lakini kwa mtu wa kawaida anayetaka app Hakuna Haja ya yeye Kujua Coding
Habari Wana JF,
Siyo Kila anayehitaji Android App Kama ya News, Chating,Live Tv ana Haja ya yeye Kujua Programing au Coding.
Inabidi Totofautishe Kati ya Kazi na Mahitaji, Programing au Coding ni Kazi
Kama Kazi Zingine ila Kuwa na Shauku ya Kuwa na App Yako ni Mahitaji Kama Yalivyo Mahitaji...
Nimefanya Jaribio la Kuunda Forum Ya Ujuzishare
BONYEZA HII LINK HAPA UjuziShare
Ni Forum ya kushare ujuzi alionao mtu katika vipengele mbalimbali na naomba muijaribu katika mambo yafuatayo
-Kuregister na Kulogin (Haihitaji Activation)
-Kucreate Thread
-Reply Thread
-Edit Profile
Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.