Recent content by Daddi

  1. D

    Ujenzi ni afya ya akili

    You are right, muda wote ninapokuwa site ninakuwa makini nikizingatia ubora wa jengo na kuepuka kupigwa.
  2. D

    Gharama za plumbing na wiring stage ya kwanza

    Jamaa umejibu vzuri nadhani mtoa mada amejifunza
  3. D

    House4Sale Nyumba inauzwa

    Ukubwa wa eneo?
  4. D

    Naomba kufahamishwa Survey App (task) zinazo lipa vizuri Tanzania

    Tuelimishane ni kitu gani mnazungumzia. Tupeane maarifa kidogo.
  5. D

    Naomba nipatiwe elimu kuhusu umaliziaji wa kujenga nyumba juu (Gypsum Board na PVC Board)

    Amen mkuu, tunasubiri mrejesho wa namna utakavyo implement ili na wengine wajifunze Mhakiki
  6. D

    Gharama za Ujenzi kwa ramani hii

    Tena hiyo 40 yenyewe iwe ndio upana. Urefu 20. Though akipata 30 upana 25 urefu inakuwa bora zaidi.
  7. D

    Naomba nipatiwe elimu kuhusu umaliziaji wa kujenga nyumba juu (Gypsum Board na PVC Board)

    Umemshauri vizuri naongeza nyama kidogo. Kwa sehemu ya nje kwenye fascia boards kwa chini huwa ndipo PVC hutumiwa. Gypsum boards kwa nje hazifai kutokana na unyevu na maji ya mvua. So atatumia zote pvc na gypsum, pvc kwa nje na gypsum kwa ndani.
  8. D

    Maboresho kwa ramani hii

    Naona hakuna aliekujibu kuhusu hivyo vimistari kuingia master ni ngazi. Huenda ni ghorofa ya kishkaji ambapo master room ipo floor ya kwanza. I stand to be corrected.
  9. D

    Makadirio ya matumizi ya bati

    Bati 75 mpk 100 kuendana na ukubwa wa nyumba yako. Maana hujaweka vipimo
  10. D

    Naomba ushauri na kujuzwa bei za mabati ya Alaf

    Bei za last week Bati za mgongo mpana bundle la bati 16 ni 632k gauge 30. Na sikuhz hawakati kuendana na vipimo vyako, ni bundle tu kwa gauge 30. Versatile/(bati lenye muonekano wa kigae)yenye mchanga niliambiwa 23700 kwa RM gauge 28
  11. D

    Ushauri, Tofali za block vs Tofali za kuchoma

    Zichome vizuri tu ni nzuri kuliko za saruji. Msingi jenga wa mawe
  12. D

    Natafuta ramani ya nzuri ya nyumba

    [emoji3][emoji3]
Back
Top Bottom