Hii sio maana yake mzee. Shida Kuna vitu hamna elimu navyo ila mnavijadili.
Unatakiwa ujue Kuna uwepo wa umeme kwa maana ya uzalishaji, lakini Kuna miundo mbinu ya kusafirisha huo umeme kutoka point Moja kwenda nyingine.
Kwa kipindi cha nyuma na mpaka sasa ilikuwa ni lazima ncho inunue umeme...
Hapa huenda Waziri kajichanganya, huenda umeme ukawa unatosha, ila hiyo mikoa kama ya Rukwa na Kagera na kuiweka katika Grid ni jambo la kimkakati na lenye kuchukua muda kutokana na mahitaji ya mikoa hiyo.
Mfano kuna mradi wa TAZA project, huu mradi ni wa 400kV unatokea Iringa kwenye substation...
Mimi kidogo huwa niko tofauti, kwanza unapokuwa umeoa kwa ndoa kabisa, suala la kutarajia kupata mtoto ni jambo lenye kusubiriwa kwa hamu sana na kutarajiwa, na ikitokea kinyume chake, kwa maana shamba lisipoleta natija, hali huwa tofauti.
Mimi mke wangu anapo enda kujifungua kwanza akili...
Huujui USHIA. Muulize Jalala kiongozi wa Mashia, Tanzania anasema kwa kinywa chake mwenyewe ya kuwa USHIA ni dini pweke isiyo fanana na Uislamu.
Lakini, ukisoma vitabu vyao ndio utajua ya kuwa USHIA ni dini.
Kingine Salafi sio Answer Sunnah.
Wewe ni madhehebu ya Imam Shafi, umeisoma vitabu gani vya Madhehebu ya Imam Shafi mpaka ujinadi na Ushafi ?
Mimi manhaj yangu ni Manhaj ya Salafy Swaalehe na madhehebu yangu ni ya Imam Shafi.
Unaujua Ushafi ?
Wewe ni Shia kutokana na michango yako na...
Katika ukoo wa Saudia hakuna damu ya Kiyahudi, na wao asili yao inarudi kwa Banu Amir.
Unajua hizo story unazo leta hazina asili katika Historia bali ni matokeo ya watunzi wa uongo ili kuwasema vibaya Watawala wa Saudia
Bado nasubiri ulete ushahidi ya kuwa familia ya Saudi ni Mayahudi.
Halafu sanadi za vitabu kama Usual al Kahf na Furu'u yake zilivyo jaa uzandiki.
Mnajua kama nyinyi Mashia hamna hata elimu ya Rijali, kwa zama hizi huku mkidai ya kuwa Al-Khui ndio mwanazuoni wenu wenu wa elimu ya Rijali...
Nimecheka sana, kwahiyo hapo ndio ushahidi wa kuwa yeye au wao ni Wayahudi ?
Hili nilikuwa tu ya kuwa lazima utakuwa hauna ushahidi. Hapa nataka uje na ushahidi kuonyesha wao ni Mayahudi, kusema "Cousins" sio ushahidi ya kuwa wao ni Mayahudi, kama vile Wakristo wanavyodai Waislamu ni watoto wa...
Unajua ya kuwa Uyahudi ni dini na sio kabila ?
Hakuna Historia sahihi iliyo andikwa ikaonyesha familia ya utawala wa saudia ni Mayahudi. Hizi Historia zenu mnazitoa kwa Mustashrikuun (Orientalist), watu ambao walijifunza Uislamu ili wake kupotosha watu.
Historia ya Utawala wa Saudia umeisoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.