Recent content by Lager

  1. Lager

    Nimetumiwa hii sms kutoka halotel, Sijaielewa!

    Hakuna namba yangu hapo!
  2. Lager

    Nimetumiwa hii sms kutoka halotel, Sijaielewa!

    Ya kwamba hakuna tatizo mi nilikuwa nataka wanitafsirie na waniambie inahusu nini
  3. Lager

    Nimetumiwa hii sms kutoka halotel, Sijaielewa!

    "Ndugu Mteja, 627692622 imehuishwa kikamilifu na MWAFT29499 - PHILIBERT JUMA TUBILOLE Mwenye XXXXXXXXXXXXXX 000324 tarehe 12/10/2023 20:26:08 PM.Piga 100 au tembelea maduka yetu kwa msaada." Nimejaribu kuwapigia wamenipa maelezo ambayo sijaridhika nayo!.kunaanaefahamu maana ya hiyo meseji??
  4. Lager

    Ni kitu gani uliambiwa hutoweza kukifanya na sasa unakifanya freshi tu?

    Umepima DNA kaka au wajua unachokifanya tusikuingilie...😅
  5. Lager

    Mahakama imeamua. Je, ndo bandari yetu imekwenda, unasemaje?

    We mbona hujamwambia chochote unataka sisi tuwe mbuzi WA kafara
  6. Lager

    Wanaharakati nendeni UAE kama team ya wataalamu kuomba mabadiliko ya mkataba

    Mkienda mlichokula atalipa Nani. Naijua Ile inaitwa mwana kulitaka mwana kulipata ndo hii.
  7. Lager

    Mnayakumbuka ya Dkt. Ulimboka na Awamu ya Nne? Je, yupo wapi sasa?

    Kuguswa kwao sio kama alivyoguswa ulimboka that's big difference! Open your eyes widely
  8. Lager

    Mnayakumbuka ya Dkt. Ulimboka na Awamu ya Nne? Je, yupo wapi sasa?

    Aliamua akae kimya. Kwenye mambo ya nchi mengine unaona watu wanaongoza jambo fulani ukute ni mapandikizi I mean wamewekwa kwaajili hiyo na hautaona wanaguswa Sasa tokeza wewe from no where utajua hujui! It's better to play smart before you take any step,every shadow you see isn't something that...
  9. Lager

    Ngozi nyeusi ina laana ya milele

    Tunayapakia mpk vumbi
  10. Lager

    Record: Kipa aliyedaka penalties 3 kwenye derby ya Kariakoo

    Still Yanga imecheza vizuri nakuonyesha maana ya mpira! Burudani ipo yanga huo ni mwanzo next time hamtaamini macho yenu
Back
Top Bottom