Ninashaka na ubora wa kazi yako, maana hili Tangazo lako tu halijakamilika sijui kama hizo ramani zitakuwa na ukamilifu. Unaweka Tangazo bila contacts, watu watakupataje sasa?
Yaa nadhani itakua ni kweli maana jana kuna mshkaji wangu nae kapigiwa juu ya post hizohizo na ktk kuwahoji wakamwambia anachotakiwa ni kusema kama yupo tayari then wamtumie barua ya ajira.
Aliulizia wapi wanampeleka wakamjibu kuwa huyo mpiga simu ametumwa tu hajui zaidi so asubiri barua...
Dah jamaa wanaboa sana hv sasa wanabahatisha ktk biashara yao,mfano leo nimenunua umeme kwa tigo pesa wakanambia muamala umekamilika, lakini toka saa tisa hadi sasa hivi saa nne usiku sijapata msg ya vocha, nikapiga namba 100 huduma kwa wateja nikaambiwa kuongea na mhudumu nipige 0713800800...
Kijana chagua kazi yeyote katika hizo lkn consider sana kazi itakayokupa career development na sio salary ili uje weza kupata jo ya ukweli badae, kwa hizo salary uliosema zote ni kama sawa tu, mimi mwenzio nilipomaliza chuo nilikaa mkoa mwaka mzima bila job na nikapata kazi ya 350,000...
Hawa jamaa mm ninachojua wanabebwa saana na Mikopo ya AZANIA BANK,muajiri wao amewa guarantee kukopa kwa kiwango cha juu sana pale Bank, na wengi kwa hiyo mikopo wanajenga fasta au wana nunua magari mazuri au wana fanya business zinazowaongezea viapato.
Ww ulikwenda fanya field au kuchunguza...
Jamani kwa wale walioomba nafasi za Audit pale TPA,tafadhali futa katika list ya matumaini kwani tayari wameshaita na wamefanya interview alhamisi iliyopita,poleni kwa waliokosa na hongereni kwa mliopata ikiwa mumepata kwa ushindani halali na si kwa KAMLETE.
Haya kama kweli ulikosea kuandika odo meter na kama unavyosema ni 100330 na sio 1000330, ni vema ukatupatia registration number yake ya hapa bongo, hiyo itamuwezesha mnunuzi kufanya makisio ni kwa muda gani imetumika hapa bongo. Fanya hivyo kaka,hiyo ni info muhimu sana ume hide.
Kaka kama hiyo odo meter ipo sahihi, basi hata 350,000 tzs hupati mana ikiwa Scania inakuja na km 700,000 inakuwaje small car ije na Mileage ilofoka million km?Imetumikaje huko hadi iwe na very good condition kama unavyosema?
Muende mkafundishe mkitakiwa kufundisha sio mkimbilie huko kuganga life then muda mfupi Bank Teller NMB. Kuna haja vijana wenye sifa za ualimu kuleta mageuzi katika elimu yetu kwa kadri tutakavyo weza regardless mfumo mbovu tulionao. Tusishau elimu ya Uraia wanafunzi wajitambue mapeeemaaa....
Hii inanifanya nizidi kuiheshimu kazi yangu japo nafanya kazi isyoendana na profession yangu, nina CPA lkn sio muhasibu siiachi hata kidogo bora mkono wenda kinywani bila shida.
Komaa kijana utapata ila ndio hivyo sio lazima upate kazi ya ulivyosomea pekee,yeyote pouwa hapa bongo bana Daktari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.