Nashauri watu msioongee sana kwa hisia sasa ngoja nikupeleke kwenye uhakisia
Je wajua ni vyuo zaidi ya 50 vinatoa shahada mbalimbali zinazohusu kada ya ualimu.
Hata kama iwe serikali gani inaweza kumudu kuajiri utitiri wa wasomi weng wanaomaliza kila mwaka?
Hivyo basi unapaswa ujue tatizo la...
Kuna wakati watu waache ujinga qa kushabikia vitu ambavyo n sensitive sana ona kinachofanywa na NHIF knagharimu wananchi mno
Mfano Leo kila dawa tunazoandika kwa bima zinagoma Ina mana inabdi kumwambia mgonjwa aanze kununua dawa nje hko ya maduka ya madawa tunawaumiza mno Hawa wananchi
Misukile hyo hyo ndo inatibu ndugu zako wakapona na wakaamka vitandani hebu heshima hata kidogo jitihada zao kwenye kusaidia jamii na suala la ugunduzi Hilo hata usilaumu mana wengi wao toka wakiwa mwaka wa kwanza wa udaktari Hadi kuwa maprofesa elimu bado n Ile ile na n mfumo kila mtu ameukuta
Mimi nashindwa kuelezwa massive of tanzanian wanaanin kama kila mtu ana mawazo kama yake Yan eti kama yeye hampendi makonda basi analazimisha kila mtu awaze kama yeye
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.