Huyo mwenye uelewa wa Ushoga na faida zake akikutaka uonane nae akuelimishe kiundani ikiwezekana akufundishe kwa Vitendo upo tayari?
Kuchamba kwingi ndio mwanzo wa kujipaka mav*
Anaetaka majibu sahihi na stahiki aiandikie barua Tanesco watamjibu kwa kina na ufasaha.
Una hakika gani na anaejibu hapa kuwa ni Tanesco?
Unakwamishwa na nini ama unapatwa na changamoto gani watumishi wa Tanesco kupata punguzo la bei ya umeme?
Nadhani ukiandika barua na kufanya haya...
Ukinywa maji mengi ni Shida!
Ukila nyama nyingi ni shida!!
Ukinywa Sana kileo ni shida!!!
Ukipumzika muda mrefu ni shida!!!!
Kwa hiyo tufanyeje sasa!!!?
Andika barua ya kuomba kuihamisha hiyo tin namba kutoka ulikoipatia ije hapo ulipo/unapotaka kufanyia biashara Kisha meneja wa eneo Hilo atawasiliana na meneja wa kule ilipo tin namba yako na kuhamisha taarifa zako.
Nb
Usitoe rushwa huduma hiyo ni bure.
Eti unalisha una valisha wanapendeza...
Kama unadhani hao ni ngombe ama mbuzi chinja(wale wewe).
Uko na wivu nakushauri achana nao mind your own things....
Tena wakitendwa uwashauri.
Unataka kumfumania ili iweje?
Utaweza kujimili?
Una plan gani baada ya hapo?
Mapenzi hayalazimishwi
Hata ushauriweje hapa maamuzi ya mwisho yapo mikononi mwako.
Amua vyema.
Kila la heri.
Kuolewa ni kanuni ya kimaisha kuzaa ni majaaliwa ya Mola, Kuzaa ni kanuni ya kibinadamu kuolewa ni majaaliwa ya Mola.
Shukuru Mola wako kwa kila jambo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.