Wanaendesha kiholela sana, Kuna moja limenipita mahali, Driver kama kalewa hivi anataka kutafuna watu
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Hujayajua maandiko matakatifu vizuri, na hujamjua Mungu vizuri "
Hujajua principles za utajiri kwa mujibu wa maandiko, ila inaonekana kuna mapito unapitia na bahati mbaya sana ukakosa mshauri mzuri na waajabu
Bila kupepesa macho, soma
Mithali 23:21 (a) "kwa maana mvivu na mrafi huingia...
Poleni kwa mahangaiko ya hapa na pale.
Kama kichwa tajwa hapo juu, naomba mwenye uelewa wa process nzima ya chipping anipe elimu kidogo, pia gharama zake kwa kuta za nyumba yenye Sqm 72, maana nawaza jambo hili kulifanya katika nyumba yangu
Natanguliza shukrani.
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kupitia kwa Mkuu wake wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma, Rolf Kibaja imesema taarifa kwa Umma iliyotolewa juzi October 13,2023 haijakataza matumizi ya VPN kama baadhi ya Watu wanayopotosha kupitia mitandao ya kijamii.
Kibaja ameiambia Ayo TV...
ingekuwa poa sana ningekuwa nafanya kazi NHIF, ila hata fikra hizo hazipo, nimegombana nao sana kwa nyakati tofauti tofauti, nawafahamu sana, changamoto zao ni financial management kama Dulu zisemavyo wanajipigia hela za wanachama, ila upande wa huduma tusiwaonee hivyo, watu wanafanyiwa...
Strategies wako mikoa mingi sana, ila ada ya kuchangia malipo ya uanachama yako juu sana kuliko watu wanavyofikiria, NHIF wana gharama ndogo sana kulinganisha na hao wengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.