Wahuni tu hao.
Mafuta yakishuka bei wao hawashudhi au wananadhusja kidogo lakini yakipanda bei wanawaoiga wananchi kisawasawa. Hii ni cartel ya maharamia fulani duniani.
Kuniita mimi mjinga hakukufanyi wewe uwe na akili. Hiyo ni mfano tu. Wewe huoni kama kuna kitu kisicho cha kawaida hapa. Yaani kila mwaliko mtu anatoka na PhD. Yah right....!!
Yaani hizi honorary degrees inatolewa sana kwa viongozi wa Afrika kwa vile wamewaona ni malimbukeni. Akina Mangungo walikuwa wanahongwa shanga, sasa wanahongwa degree. Huwezi kusikia akina Putin, Modi, Erdigan au Sunak ametunukiwa hizo shahada. Likitokea hawatatumia hizo title.
Kitu cha...
Alijua tofauti. Ndiyo maana hawakujiita CPA lakini wakajiita Dr.
Watu wanashindwa kujiuliza tu kitu kidogo, hivi kwa nini ukiangalia news BBC, CNN etc huwezi kukutana hizo title zikitumika!? Hivi wenye hizo title hawahojiwi kwenye international media...!?
No wonder zinatembea mtaani. Ndiyo design zako.... No wonder hata wajinga ujinga kama wewe wanazo.
Mimi siihitaji hiyo title fake, tayari nina title inayotambulika duniani. Nikipenda mahali siihitaji kuelezea maana ya title yangu.
Dame Acha ujinga.
Tuambie wapi CPA ni title same as Dr. Kama wewe hujui maana take shauri yako. Akina Mengi (RIP) na Mkono (RIP) walikuwa watu wa mwanzo kuzipata hizo. Hukuwaona wanazitumia kama title till hiki kizazi chenu cha kutaka kujionyesha.
Sawa sijakataa kuwa hamumuelewi. Ndiyo maana nimesema somewhere kuwa Tanzania wataekewa. Ila wakitoka nje ya nchi hakuna atakayekuelewa tofauti na title nyingine. Made in Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.