Kujifunza ni pamoja na kusikiliza ushauri wa watu wengine, Tumekushauri kuwa makadirio yako yana makosa mengi sana ikifuatiwa na msukumo wa kiitikadi ya kisiasa, Jaribu kuhudhuria mikutano ya mitaa na fika ofisi za mitaa na kata uliza chochote unachokuwa na mashaka utajulishwa, Hoja zako kiufupi...
Ukitanguliwa na mihemko unajikuta unashindwa kujenga hoja vizuri, Kwanza kila mtaa umejipangia kiasi gani kilipwe kwa kila kaya na si 2,000/= kila kaya kwa mitaa yote kama unavyotaka kutuaminisha, Pili rudi kafanye utafiti ujue mtaa mmoja una kaya ngapi na mapato yanayopatikana kwa mwezi kwa...
Ushabiki wa Siasa ni tofauti kabisa na ushabiki wa michezo mingine,Kwanini tuwalazimishe watu wamshabikie au kumpenda kiongozi fulani na hatufanyi hivyo kwenye ushabiki wa michezo, tujijengee mazoea ya kuwaachia watu washabikie au kupenda kiongozi yeyote na tujikite kwenye kupambanisha hoja.
Nafikiri Wahusika pia wanajua kuwa somo la Hesabu ni janga kwa watu wengi ndio sababu ya kuwahadaa wananchi namna hiyo.
Kwa uzoefu wakati wa kusomwa bajeti ya wizara husika,Waziri husoma kwa style ya kuwachanganya wasikilizaji yani atasema hivi:
1.Mapato yasiyozidi 2,040,000/= ( ambayo ni shs...
Watu wa mahesabu ni wajanja sana,wanakuaminisha namba ndogo ukija uhalisia unakuta umekatwa zaidi ya 20%. Afadhali amejaribu kupunguza watu wa TRA nao wawe na huruma na watumishi katika kuweka hizo fomulars zao.
Ni Bora amekiri kuliko kukaa kimya Jambo la msingi ni kuwa na washauri wazuri na akipewa ushauri ajiridhishe kabla ya kuufanyia kazi, Amwombe Mwenyezi Mungu amwongoze vyema katika majukumu yake.
Yawezekana anachofanya hivi Rais ni kutokana na hali kuwa mbaya sana lakini asisahau kuwa na yeye amekuwa kwenye mfumo huo kwa miaka kadhaa kwenye Wizara mbalimbali.
Ushauri wangu kwa Mhe. Rais kazi hii ni ngumu kufanywa na mtu mmoja ni Jambo zuri kurekebisha sheria mbalimbali zinazoonyesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.