Arseno arseno arseno nahisi kuchanganyikiwa moyo unaniuma sina amani natamani kujiua mimi wakukosa m80 kisa team moja bora ningesikiliza ya wakamalia wenzangu kash out sura yangu naiweka wapi mimi mr bann milion 80 nimezikosa ee mungu kwann umeruhusu haya nimekukosea nini mimi haki ya mungu...
inatosha tena ni nyingi kwa kias chake sema nini comment zangu za mwanzo nilisema kanji ajipange kwahiyo sina wasiwas hata kidogo update mtapata j mos saa sita usiku kama watanitangaza mtaniona kwenye tv tokea hapo ndio nitaanza kutoa code hapa kanji kaniletea dharau sana nimemchoka wale...
Leo ndio napata maana ya ndoto niliyoota na ilijirudia karibu mara 7 ndan ya mwezi hatimaye yanatakatimia aisee tumekwisha, watu 1625284 finish tujiandae ki saikolojia
Ungekuwa hvy bas sueleman angekufa siku ya pili toka anamalizia kuwa t... Wale mabint au mnasemaje wanangu,... Na huyo mungu bas hana msimamo mana ana wivu wa kipuuz au mnasemaje wanangu? Mtoa mada tuonyeshe andiko au mnasemaje wanangu,? Na hilo andiko hatulikubali maana wameandika watu kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.