Not practical, itafanya kazi kwa matajiri labda ila kama hakuna suspicion sioni kwanini ujisumbue na ma-DNA. Na hapa naongelea case ya watu ambao wamo kwenye ndoa!
Waungwana, nahitaji msaada wa ku-unlock modem/router mbili ambazo nimenunua toka kwenye mitandao ya simu Tigo na TTCL hivi karibuni.
ya TTCL ni: 4G USB Wingle Model: W02
ya Tigo ni: Mobile WiFi E5573Cs - 322
Nime-attach picha zake. Kama hizi haziwezi kuwa unlocked kwa sasa tafadhali...
Jokajeusi,
Wewe kweli hujielewi...unaongelea uwepo wa "SHERIA" halafu wakati huo huo hutaki kutambua usawa kati ya mwanaume na mwanaume. Sheria hizo unazozitaja zinatoa nafasi ya namna fulani ya usawa kati ya mwanaume na mwanamke.
Kama mwanaume huwezi kuwa unapigia kelele juu ya umuhimu wa...
Jokajeusi,
Kwanini suala la bikra limuhusu mwanamke tu? Kama ni suala la msingi sana kwenye ndoa kwanini lisimuhusu mwanamke tu wakati ndoa ni jambo linaloshirikisha watu wawili?
Halafu bikra ina maana gani hasa? Kwamba ikiwa una mwanamke ambaye amekuwa anaingiliwa kinyume na maumbile, yaani...
colin_morgan,
Mkuu wanawake wote wananuna na kwa akili zetu wanaume yaani huwa hatuwezi kuona kwa sababu gani wananuna, yaani huwa tunaona sababu zao hazina maana. Na ni kweli kuna nyakati sababu zao hazina maana kabisa!
Siri moja nikupe...wanawake wanapenda sana kuwa "in control", hivyo...
Beira Boy,
Kwa hiyo katiba ya CCM, katiba ya nchi ikibadilika atendelea kubaki. Ndio kusema bado ana nafasi ya kubaki ikiwa katiba ya CCM, ya nchi zitabadilishwa kumpa nafasi kuendelea.
Sababu hasa inayonifanya niandike hivi ni kuwa ukiacha Nyerere sidhani kama kuna raisi mwingine ambaye...
Makirita Amani,
Nimependa sana hili bandiko ila nitachangia mambo mawili matatu kupigia msumari. Nafikiri moja ya changamoto ya kizazi hiki chetu cha sasa ni SUBIRA/UVUMILIVU.
Kizazi hiki kinataka matokeo makubwa na ya haraka. Sasa sisemi kuwa matokeo ya haraka hayawezekani ila kila kitu...
Habari wana JamiiForums,
Naweza vipi kupata number ya simu ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi Bw. Lukuvi?
Kuna changamoto ya ardhi mkoani Morogoro ambayo tunahitaji usaidizi wake.
Nilifika Mexico kwa shughuli za kazi basi nikabahatika kwenda kutembelea eneo hilo na wenyeji wangu.
Nilistaajabishwa sana na maendeleo ambayo hii jamii ilikuwa imefikia hasa kwenye mambo ya architecture na astronomy.
Hakuna mwanamke mbaya au ambaye hana mvuto kabisa. Ni kweli kuwa kuna wengine wana mvuto kuliko wengine ila kwa ujumla wanawake wote wazuri. Nafikiri kinachotokea hapa ni kuwa umemzoea mke wako kwa hivyo unamchukulia poa, changamoto ambayo wanaume wengine tulio kwenye ndoa tunaweza kukumbana...
Pengine umeshapewa ushauri wa kutosha sana kuhusu matumizi ya pesa na kuweka akiba lakini kama kaka mkubwa nafikiri nina nafasi ya kuchangia kupigilia msumari yale yote ambayo umekwishaambiwa.
Kuna methali moja inanijia kichwani hapa "Mali bila daftari hutumika bila habari". Methali hii...
Stori yako inaonesha mlikuwa au bado mna changamoto ya mawasiliano. Kama kweli mna mawasiliano na kuna uwazi kwenye ndoa yenu yakiwemo mambo ya pesa basi ni ngumu mkeo kufanya kitu kama hiki.
Sasa jiulize, kuna vitu vingapi ambavyo mkeo amevifanya namna hii? Usitumie tu ukali, pengine chukua...
Siku chache zilizopita nilitumiwa picha ya frontpage ya gazeti moja likimnukuu Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu akisema "Wadaiwa Bodi ya Mikopo Kusakwa Majumbani Usiku" nikashtushwa kidogo nikasema nitakapopata muda nitajaribu kuweka bandiko moja hapa nitoe maoni yangu kuhusu ulipaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.