Mahaba tu yame kujaa hizo S series zime jaa syria na israel alikua anaingia na kupiga target bila kizuiz chochote uku machuma chuma ya mrusi yakiwa yame lala
Mtu ana kaa na pumbu zake ana tunga li ujumbe lirefuu halafu ni upuuzi mtupu halafu ana kuja mpuuzi mmoja nae asie jua kuchuja taarifa ana lifowadi ilo liujumbe lina sambaa kila kona!!!
Kwamba serikali hii ya jamhuri ina uwezo wa kusoma jumbe zako za whatsapp🤣🤣
vItu vingine muwe mna uliza kwanza?
Ufute usajili wa awali kukiwa na pesa kisha ufanye usajili mpya wa vitambulisho vingine utegemee kuwepo kwa hizo pesa? Mzee ulitumia Masaburi kifikiri nenda voda shop na mkeo mkiwa na vithibitisho vya umiliki wa awali wa ile line mtasaidika !!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.