Inawezekana kabisa,kikubwa uwe na GPA ya 3.5 na kuendelea kwa vyuo kama UDSM,Ila kwa vyuo vya technical ni kuanzia GPA ya 3.0.ila kama unabadilisha fani mda wa masomo ni miaka minne sawa na watu wa kidato Cha sita.ila kama fani Yako ni ile ile degree ni miaka mitatu.
Udsm,
Dissertation has no of credits which make up the sum of credits required for award of masters degree.i.e udsm coet is 60 credits, coursework is 120 credits total credits required is 180
Kuna jambo la kuangalia pia,wakati wa utoto mara nyingi watoto Huwa na ukaribu na mama hivyo hutengeneza bond,baba wengi Huwa ni watu wakali Kwa watoto,ni mara chance kukuta watoto Wana ukaribu na baba zao.
Kujiunga VETA huwa kuna interview inafanyika kwenye mwezi WA Kimi,alafu akifaulu anaanza mafunzo January mwaka unaofatia.kwa maelezo zaidi tembelea website ya VETA.
Kigezo cha elim NI darasa la Saba na kuendelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.