MAOFISA wa Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI), wamekubali kufanya upelelezi wa mauaji ya Padri Evaristus Mushi yaliyotokea Zanzibar Februari 17, mwaka huu.
Kwa mujibu wa habari za... kuaminika zilizopatikana jana maofisa hao wako nchini na tayari wamekutana na baadhi ya viongozi wa...
Tokea wamekuwepo hao wanyama wamekusaidia nini wewe na familia yako...!!?? Wanawaacha wanoiba meno ya tembo makontena kwa makontena kila siku tunasikia .
Katika kile ambacho nahisi ni hotuba ya kuishukuru serikali ya Tanzania kwa Barabara moja ya kihistoia kufutwa jina lake la awali na kupewa jina la kiongozi huyo wa Kenya ambaye nahisi bado Kiswahili kwake ni tatizo japo nchi yake imeonekana kama moja ya nchi inayoongea Kiswahili kwa ufasaha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.