Wadau wa JF, nawasalimuni nyote.
Kwa siku za karibuni nimekuwa nikipitia website ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kupata takwimu za masuala mbalimbali yanayohusu uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2020.
Kwa bahati mbaya sehemu yenye kuonesha takwimu za wapiga kura, takwimu hizo hazipo badala yake...
Unanikumbusha wakati ule wa bunge kujadili sakata la Escrow na yeye akiwa Naibu Spika.Aliongoza kikao mjadala ukanoga sana na yeye akachombeza kwamba bunge lazima lijadili jambo hilo na akasema"hakuna ushirika kwenye maovu"akimaanisha bunge haliwezi kufumbia macho wizi wa baadhi ya watendaji wa...
Yaani kuna mambo yanatokea Tanzania tu huwezi kuyakuta kwenye nchi nyingine.Lipumba huyo huyo anapewa pesa za ruzuku isivyostahili mpaka anawasafirisha hao wanaoitwa wajumbe wa mkutano mkuu kutoka sehemu mbalimbali ikiwemo kwao Uyui,halafu mnasubiri waje mpaka kwenye ukumbi ndo mnajifanya...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemtia hatiani raia wa China, Yang Feng Glan (66) maarufu kama Malkia wa tembo, na wenzake Wawili baada ya kuridhika na ushahidi uliotolewa na mashahidi kumi na moja upande wa mashtaka Katika mashitaka ya kujihusisha na biashara haramu ya meno ya tembo yenye...
Usione watu wazima wanalia makanisani ukaamini wanalia kwa sababu wamebadili majina na hawana vyeti vya elimu tu,wanalia kwa mengi yakiwemo mabaya wanayopanga na kutekeleza dhidi ya wenzao.Lakini siku zote ubaya hauwezi kuushinda wema,watajulikana tu
Usione watu wazima wanalia makanisani ukaamini wanalia kwa sababu wamebadili majina na hawana vyeti vya elimu tu,wanalia kwa mengi yakiwemo mabaya wanayopanga na kutekeleza dhidi ya wenzao.Lakini siku zote ubaya hauwezi kuushinda wema,watajulikana tu
Ukitaka kupata uhalisia wa umasikini uliokithiri basi tembelea majimbo ya Dodoma likiwemo la huyu kondakta wa zamani wa mabasi yaliyoitwa Urafiki(sina hakika kama bado yapo)Cha ajabu badala ya wabunge hawa akiwemo yeye na wenzake kina Ndugai,Lusinde,Nkamia na wengine kutumia muda wao kuelimisha...
Mimi pia mwaka jana nilikwenda kumwona baba wa rafiki yangu alilazwa pale kabla hajafariki.Ni kweli huduma kwa wagonjwa ni mbovu sana,wodini pale nilishuhudia wagonjwa wakisaidiana wao kwa wao.Wale wenye nafuu kidogo walikuwa wanawasaidia waliokuwa hawajiwezi.Mbaya zaidi mgonjwa anapofariki...
Hiyo idara ya habari maelezo iliyoagizwa kumuhoji Musiba na bodi yake haijui kazi yake?mbona magazeti mengine kama Tanzania Daima wanachukua hatua siku hiyohiyo bila hata kuagizwa na huyo waziri?Tanzania tunaishi kinafiki sana acha tu tuendelee hivyohivyo mpaka tukifa wote labda kizazi kijacho...
nakumbuka sana namna alivyoteseka,wazazi wake walikuwa wanakwenda sahara kudai mishahara ili isaidie matibabu lkn wakawa wanatoka mikono mitupu,siku za mwisho zilikuwa ngumu sana maana hata chakula kupata ilikuwa taabu,nina jamaa alienda siku ya msiba anasema ilikuwa inasikitisha sana
Pole yao,ninaifahamu vyema kampuni hii.Masuala ya kutolipa wafanyakazi kwao ni kawaida,ndugu yangu alikuwa mfanyakazi pale(ameshatangulia mbele ya haki)Nakumbuka siku tatu kabla ya kifo chake watoto walirudishwa shule kwa sababu ya ada,akaamua aende nao ofisini kuwaeleza ili wamlipe mishahara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.