Mlolele Mnyilo

Mtu mwenye kupenda maisha ya haki, amani , huru pasipo kuingilia imani, itkadi za wengine kwani naamini kila mtu ana namna ya kuona na kuchagua linalomfaa, katika haya nami huwa sipendi kuingiliwa katika maisha yangu binafsi.

Tumaini langu ni kwamba iwapo binadamu wote tutaishi kwa kuheshimiana basi thamani ya maisha yataongezeka, upendo yatakuwa ni matokeo ya fikra njema juu ya maisha ya wengine.

Imani yangu ipo katika utu na ubora wa maisha ya kijamii.
Location
Dar es salaam
Gender
Male
Occupation
Social Livelihood Volunteer

Contact

Facebook
nzwangaar
Twitter
nzwangaar

Followers

Trophies

  1. 25

    Somebody Likes You

    Somebody out there liked one of your messages. Keep posting like that for more!
  2. 20

    First Message

    Post a message somewhere on the site to receive this.
Back
Top Bottom