Habari wakuu!
Kuna zaidi ya channels 100 karibia katika kila King'amuzi
Kwangu mimi mtumiaji wa DStv japo tunakosa uhondo wa channel za nyumbani lakini moja kati ya channel zangu Bora ni Maisha Magic East & Maisha Magic Bongo. Ukiondoa na chanel za michezo, basi utanikuta kwenye channel za...
Kwa wale wapenzi wa kuskiliza radio hivi karibuni Kama utatembelea Mkoa wa Ruvuma hasa mjini Songea Basi unaweza kufurahia uskivu murua wa kituo hiki kipya Cha radio.
kwanza nawapongeza waanzilishi kwa uwekezaji mkubwa uliofanyika wengi tulizoea kukuta radio za mikoani zikiwa na vifaa duni...
Wabinafsi sana nimekaa Bukoba miaka miwili kama Ni kabila jingine na umefungua duka wachache Tena wageni ndo watanunua kwako
Ila Wanawake wa kihaya wanna upendo sana wanajua kupenda hasa Ila wanaume loh wanakaroho flani kaukatili hata wao kwa wao
NB: SIO WOTE WENGINE WAKO POA SANA
Wagumaa
Gharama ni za kawaida kulingana na sehemu zipo Hadi guest za buku Sita Ila huko kunguni ni kawaida
Standard ni elf 30 Hadi 50 kwa Lodge
Kama una nguvu karibu Naf Beach Hotel hapo kulala si chini ya laki moja
Kuna PC yang HP Elitebook ile ya Fingerprint ina muda sijaitumia. Sasa juzi naiwasha inawaka vizuri kabisa tatizo ni keypads mpaka ulong press ndo inakubali yani ukibonya keypad inapiga kimlio flani hivi mpaka ubonyeze bila kuachia ndo herufi ina respond.
Je, yaweza kuwa tatizo window nibadili...
Habari wakuu?
Msaada wenu nimepewa Mac ambayo haijatumika muda mrefu kidg ukiwasha kinakuja kialama cha question mark.
Sasa katika kuchokonoa na kiufahamu changu kidogo nimefika eneo la kuinstall mac ox yosemite sasa inadai Apple ID.
Sasa msaada je naweza log in bila Apple ID? Na nimejaribu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.