Du! Kweli watanzania, we're very cheap and we market cheap idea, stories and thoughts.
Hivi follow up na energy kubwa juu ya majina ya makonda zinahusianaje/ vinasaidiaje na taifa la Tanzania kupunguza tatizo la madawa ya kulevya?
Sent from my HTC One M9 using JamiiForums mobile app
Kwa kweli umesema kila kitu! mara nyingi hata hili ulilozungumza hapa la kujisikia guilty pale watu wanapokuuliza iwapo rahisi wa nchi yako amesoma kidogo economics au " what is his profession" watz waliowengi ambao ndo hawajatoka nje hawatakaa walione kamwe! mtu anaweza kuku embarass kwa vitu...
Kijakazi una mtazamo mzuri kwa maana kuwa una sisistiza kwamba ungekuwa wewe ungejua kuwa hilo wazo haliwezekani hapa tz. lakini napenda kutofautiana na wewe kwa mambo mengi lkn hapa nitazungumza kifupi tu. kiukweli kabisa, ni wajibu wetu kuleta new ideas ambazo zinaongeza tija na zenye less...
Ndiyo maana kuna matabaka kadhaa kwa sasa...wenzetu wanaonufaika wanatambua kuwa kiini cha maendeleo ya nchi yoyote ni kuwa na jamii iliyoelimika na yenye kuweza kuchanganua michakato na majukumu ya kimaendeleo na usimamizi bora. Wanatambua kuwa ili kupata kada hiyo ni lazima kuwa na mfumo mzuri...
Iwapo maswali ya msingi yatajibiwa vizuri hapo juu (toka kwa politiki), of which obviously gharama itakuwa ni kubwa na hakuna kesi za maana walizo register, itatosha ku justify their elimination unless iwe proven inabaki kwa manufaa ya nani.
Mbongopopo amekupa clues za maana.
Kitu kingine ungefanya ni kuzungumza na wakunga wazoefu kama unaweza kuwafikia na hasa kama mnaishi Tz.
Mara nyingi watoto kama vilivyo viumbe vingine hu react sana na mabadiliko na wanahitaji a step -by-step acclimatization and finally adaptation. Ktk web...
Suala la investors kuja kichwa chini....kisha kuibuka kichwa juu limeshakuwa la kawaida hapa Tanzania. Wengi wa hawa jamaa huwa wana hidden plan (apart from hiyo wanayoingilia na kujifanya kuwekeza) mfano tumewaona wapakistan -bonde la Rufiji na Kilwa waki deal na ukusanyaji wa meno ya tembo...
This is absolutely true na wala hakuna ukweli mwingine kokote utashinda semi hizi.
Lakini je ni kwa sababu sisi wanaume tunapenda vitu vizuri vyote, tuwe juu ya akina dada bila kuteswa kama tunavyowatesa? I guess tuko biased with the following confession: Mara ngapi tunawapanga akina dada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.