Ni hali ya utashi, hekima na Busara, si busara kuzuia utaratibu wa chama kumuaga mwenzao, kufanfa hivyo nj kunyima haki, na kupandikiza chuki ktk kundi fhlanj,
Hii inaakisi kuwa kilichofanyika katika uchaguzi wa Oktaba si halali, na mchakato wowote unaeendelea juu ya kuhalalisha mambo nguvu inatumika kushinda sheria, kama kweli sheria imewekwa ifuatwe hakuna haja ya kutumia nguvu.
Imefika wakati watawala kutambua kwamba wananchi wanauelewa mkubwa juu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.