Mkuu Slaa
Mwiba ana mission ya kuendeleza mawazo ya wale wazee wa vibandiko hana hoja tuendelee na mjadala na umeweka wazi aje na facts na aweke hapa kama hana apishe tuendelee na mapambano .
Waarabu they do have primitive life na Uislam wao .Wanafiki wale hujazana kwenye hotels Ulaya wakikimbia kufunga ramadhani huko kwao.In the Arab world they have very shocking life .Research iliyo fanywa na red cross imebaini kwamba waarabu wana zalia ndugu kwa ndugu kwa kuwa sheria zao ni ngumu...
Date: 7/20/2009
Pentekoste yawawakia wanaopinga waraka
Na Elizabeth Suleyman
UMOJA wa Makanisa ya Pentekoste Tanzania (FPCT), umewajia juu viongozi wanaoupinga mwongozo uliotolewa na Kanisa Katoliki unaohusu Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, ukiwafananisha na mafisadi ambao wanahofia maovu...
Ni sababu hii pekee umeona US wanasema JK ni safi na uongozi wake kwa Watanzania na kila mara anaenda kuwapa uhakika wa kupata uranium badala ya Iran kuwakata mbele hahaha
Mkuu rejea wakati wa uchaguzi mkuu na mauaji ya Zanzibar .Kama ulikuwa mdogo ingia Library pata habari uje .Mwakyembe hajaanza kuwa Mbunge jana ni baada ta matamshi haya ndipo akaukwaa Ubunge wa Mashariki .
Spika anaujua ukweli hata kama anakula na CCM lakini hawezi kuwaeleza wasomi wa Kikristo kwamba Waraka haufai maana huko kwao atakuwa kajimaliza na Ubunge hatauona tena
Mwakyembe anapatikana na anaweza kuulizwa juu ya hii kauli yake , alimshauri Mkapa na baadaye ndipo akawa Mbunge wa EA hata mimi nakumbuka .Hivi kusema watu waingie mtaani kupinga matokeo ya Uchaguzi ni uhaini kumbe kwa Tanzania ?Je adhabu ya watu kupinga matokeo yab kura zao kuibiwa ni kuwapiga...
Chadema wana sera zao kama Chama .Nimesoma katiba ya Chadema hata katika ahadi zake kama wakichukua Nchi hawakusema wanaungana na kuanzishwa mambo ya kidini wakati Tanzania ni ya wote .So naunga mkono ukimya wa Chadema kwenye sera ya CCM , CUF ,a chama cha Mrema .
Slaa kuwa mbogo ina maana...
Waislam hawana ujanja huo na hivyo wasingalileta waraka wa aina hii .Uwezo wa kukaa na kufikiria kwa ajili ya Utaifa na Tanzania bila ya dini kuwemo waislam hawana .Wako wasomi wa kiislam wengi na hodari lakini bado jambo kama hili kwa kuwa halina neno la kidini hawawezi kuja nalo hata siku moja...
JK kuweka sahihi namna kuliwaaca wengi wanashanaga na hata Bush akawa anashangaa jamaa.Yaani kila kitu kwake ni kulemba hata kuweka sahihi jamani ?
Comoro kasemaje ? Tunataka kujua pesa za vita ni zipi .Tupeni habari zaidi hapa JF.
Nasikia kwamba Mkapa alisha mjua na ndiyo maana hakuna la kuendea kule Butiama .The guy I mean Mkapa despise this guy maana hata uwezo wa kujenga hoja kama rais hana .Jamaa anasema hata kuweka sahihi it took him ages hadi Bush akawa amekaa anangoja amalize kuweka sahihi .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.