Jamani ngapi ngapi, naona mnazidisha tu porojo baadala ya kutuelezea game inavyokwenda. Kuna dalili ya kurudisha goli na kupiga mengine angalau matatu?
Wizi mkubwa hapa ni kwamba senti 10 ita apply baada ya dk ya 2 na hawasemi dk 2 za mwanzo wanatoza shs ngapi. Kiuhalisia watu wengi wanaongea na simu kwa chini ya dk 3 kwahiyo kimahesabu Airtel hawapotezi kitu. Angalia pia kweye sms, shs 1 kwa sms lakini sms ya kwanza unalipa shs 125, vipi wale...
Kuna jam ya kufa mtu mitaa ya mbezi beach sasa hivi, kuanzia Lugalo kuelekea Tegeta magari hayasogei kabisa, nimekaa zaidi ya masaa matatu na sioni dalili za kusogea. Kama una mpango wa kuja Mbezi beach nakushauri tafuta tu sehemu uwe unabailisha chupa labda mpaa saa 9 usiku hali inaweza kuwa...
Nakushauri ufungue bar ambapo pia utakuwa unaonyesha mpira ligi mbalimbali, namaanisha biashara yako kubwa iwe ni hiyo ya bar na mpira iwe ni njia tu ya kuwavutia wateja, lakini hakikisha kila anayeingia hapo ananunua kinywaji ikiwezekana kwa kuwauzia coupons mlangoni wakati wa kuingia ambazo...
Hakikisha entries zote ziko sahihi kwa sababu utasaisishiwa kwa entries na siyo kwa kubalance hiyo TB japokuwa ukibalnce bila kuforce unakuwa na uhakika wa kupata entries zote, 100%.
Ukifuata double entries principles lazima TB yako ibalance.
Acha kukariri kuwa lazima usote sana au mpaka uwe mzee ndiyo uwe tajiri. Maisha yamebadilika na pia vijana wa leo wanaanza kutafuta hela mapema, kwahiyo unaowaona matajiri wakiwa na umri siyo lazima kuwa waliiba kupata hela.
Weka mikakati yako ya kutafuta hela mapema acha kuwa na akili za kizamani.
Poleni sana mliopata ajali. Pia nawapa pole abiria waliokuwa wanasafiri leo kwenda Mikoa ya kati ya Kaskazini kwani hilo basi liliziba kabisa njia na kusababisha foleni kubwa. Binafsi nimelazimika kuzunguka kutoka Mlandizi mpaka Msata then Chalinze na kuendelea na Morogoro road, uzuri wa private...
Umenifanya nicheke kwakweli, kwani hii ilikuwa ni fainali au just friendly?
Halafu sidhani kama chama cha mpira cha Zenji kinatambulika CAF nahisi ni sawasawa na TEFA tu.
Naomba mnisaidie. Utaratibu wa kulipa hizi gharama ukoje na zinalipwa kwa nani? Na je kuna muda maalum (time limit) wa kulipa? Na usipolipa sheria inatoa adhabu gani?
Chadema watahakikishaje kuwa hizo hela zimelipwa?
Huyu jamaa anabahati sana wamemwacha mzima angekutana na watu wenye hasira kama mimi ambao tumeathirika na wizi huu wa kwenye magari yaani lazima angeenda polisi jicho moja limetobolewa au pua imekatwa. Halafu ambavyo hawana adabu baada ya kukuibia wenyewe wanazama hotelini kustarehe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.