Wananeti
Hivi hatuwezi kujadli mada mpak tutie mambo ya udini? Hebu tujiulize tokea tumejadili mambo ya udini hapa barazani je udini umepungua bongo? tumepata tija gani
sawa dau kachaguliwa kwa uwezo wake. lakini basi jamani lets face it, huyo dau wenu ameshindwa hata kuvaa suti ya maana? wabongo bwana? mambo yao ovyoooooooo!!!
Mwanakijiji anakesha hapa JF na kaleta habari yenye utata mkubwa kuwa Professor Mtulia ndiyo Board memba wa NSSF,Tusiwalaumu Tanzania Daima wala KlhNews kwa vile wako kwenye MKAKATI Maalum wa kupotosha na wanatusisitizia kuwa 'MKIMKOROFISHA MASAU ATAAMUA KUFUNGA TAASISI YAKE NA KURUDI MAREKANI...
Sio pasipoti hawakuikubali, bali walitaka uwape kitu chenye kuthibitisha address yako kama bank statement au Driving Licence, kama hawakuibali pasipoti yako kama form of of ID mbona ulipita AIRPORT kwa pasipoti hiyo hiyo? au ulienda kwa Meli?
hata kama ni Robot lakini wanajua kuwa Masau...
cha Ajabu Mbowe hajatoa tamko la chama kwa familia,wapenzi na wanachama wa Chadema.
wala hajaenda kuiona familia ya marehemu, nadhani sasa ni wakati wa Mwanakijiji kuanzisha Mchango wa kuilea familia ya Wangwe.
pia tumuombe Majid Mjengwa aandike kitabu cha maisha ya Wangwe na misukosuko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.