Umejibu vema. Haya yote uliyoaandika mwasisi wake ni shetani si Mungu. Nikuambie tu ndugu yangu mwenye huu ulimwengu ni shetani. jiulize tu kwamba mbona mambo ya gay yankuwa na nguvu sana. Kwa sababu mwanzilishi ni shetani ili kuharibu kizazi hiki. Ndugu yangu tuko hatarini sana huko mbele ni...
Dunia ni ngumu na tu wapitaji lakini challenges watu wanazokutana nazo ni nyingi. Mungu awasaidie tu. Imagine hiyo nyumba umejenga kwa mkopo si ndiyo kisa cha kufa kwa pressure.
Mwneye hii dunia ni shetani kwa wale wanaojua mambo ya rohoni. Hapa hakuna wa kujisifia awe mkiristo, muislamau, mwabudu sanamu au asiye na dini. Ukiingia kiroho zaidi utakuta wote tuko chini ya kongwa la huyu mwovu ibilisi ambaye ndiye mtawala wa huu ulimwengu. System za dunia zikiwepo...
Tuombe Mungu hii vita imalizike salama maana imeleta madhara makubwa sana kwa binadamu. Shida ni kwamba Mrusi siku zote hawezi kukubali kushindwa. Kumbuka kuwa anatawala ki dictator na watu wake kufa kwake siyo shida,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.