wana forum hii nimeikuta jana madada wanaiongelea imeniumiza sana kama mpenda nchi,,habari zilikuwepo ni kwamba kama mtanznia yoyote anaipenda nchi lazima alie kutokana na habari hii
ATCL imeagiza magari 25 toka dubai yakiwemo magari ya wakubwa
katika kufwatilia inasemekana magari hayo yapo...
hii ni habari njema lakini hizi story zimeanza siku nyingi zinakuja zinakuja,,ndugu yangu kwa sisi ma x-eng hiyo dash q 4oo
bomu,,watazirudisha,,tuwe makini jamani
mdebwedo mtupu huu...sara kula maisha mama
walikuwa hawajui wasichana wakichaga ka am si watanzania
tumeumbwa tuwasaidie ,,na hizo hela tunamhakikishia
atakufa kizisikia bado ziko mikononi mwako,,aliingiza kwenye a/c
yako akitarajia nini;;;;au ndio kuhongwa wajameni kazi ipo
wana forums...
""KIHOJA KINGINE CHA MOI""""
Ndugu wa wagonjwa wote mliopata haya madhara kwanza napenda kuwapa pole kwa yale yaliotokea,,kwanza nasikitika kusoma kuna baadhi ya watu wanawa support hawa watu,,(dk),,kisa kingine cha kusikitisha ni kama ifuatavyo nahisi bwana maseru ana kazi kubwa ya kufanya...
Swala lingine ni rushwa jamani,,hospital imejaa rushwa na nahisi hata bwana maseru analijua hili,,nahisi hata huyu bwana waliojichanganya inawezekana waliona kabisa,,jamaa wa mguu anazo wakaamua kumbadilishia kibao c mnajua kichwa kinalipa kuliko miguu,,ni hayo tu ila naomba tujitahidi...
""KIHOJA KINGINE CHA MOI""""
Ndugu wa wagonjwa wote mliopata haya madhara kwanza napenda kuwapa pole kwa yale yaliotokea,,kwanza nasikitika kusoma kuna baadhi ya watu wanawa support hawa watu,,(dk),,kisa kingine cha kusikitisha ni kama ifuatavyo nahisi bwana maseru ana kazi kubwa ya kufanya...
Naomba Tuifunge Mada Hii Leo Hii Jumapili Saa Moja Usiku,,imeashaandikwa Natumaini Wahusika Wamesoma Na
Habari Nyepesinyepesi Waungwana Wengine Wameamua
Kuanza Pale Open Wasijeaibika
Kwaherini
Afadhali Wamekubali Ukweli Kuliko Kuwadanganya Watumishi Wa Bwana ,,niliwambia Hawa Wanaitaji Maombi Mungu Atawabalidisha
Hii Ndio Ccm Bwana ''iliokuwa Aiongeleki Hivi Sasa Butiku Anawachungulia ,,tupige Goti Jamani Mambo Mengi Yanakuja,,baada Ya Uchaguzi Wa Leo Kuna Waungwana Watakuwa...
"kitime" Huyu Mama Emlazwa Kabla Hata Mzazi Ajapata Ajali,,tusimsemee Moyo Jamani,,lingine Tumpe Nfasi Apumzike,,alianza Kuumwa Alivyotoka South,labda Twaweza Sema Izi Ni Bakora Tu Za Mwneyezi Mungu Kuonyesha Jamii,
Namtakia Salamu Njema Uko Alipo Mama
yeeaaahh:::::vijana nimefurahi kusoma mada zenu kweli zinaonyesha halihalisi kwanini watanzania wanaoenda nje hawarudi
naomba mungu mwenye enzi yote amfunulie jk blog hii kumfumbua macho,,mwisho na wapa changamoto vijana wetu uko nje uku hali ni ngumu bado BOT,PPF,TIC vibopa ni walewale "FISADI...
wanaforums hapa si barabara wala madereva,,swala hawa waheshimiwa inabidi wamrudie mungu huu ndio wakati wenyewe hata kama wakiweka 6lanes,,nani asiejua ajali ngapi zinapatikan kwenye mororgoro road kutoka ubungo mpaka mbezi,,na hivi sasa wanataka kuongeza barabara kupunguza ajali,,swala wamjue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.