jamani mi nina shaka na hili tamko. Je ni kweli linatoka kwa wasomi wa Dodoma? Kuna yeyote amesikia kutoka kwenye chombo kingine chochote cha uhakika? Isije ikawa tunajadili 'tamko la mtoa mada' kwa kivuli cha wasomi wa Dom.
Roma - Tanzania. Halafu kuna wasanii kama wanaume TMK, Diamond, Tip top na wale wa THT wamegeuza nyimbo zao zilizofanya vizuri na kuwa za siasa. Album yao imeandikwa 'Kikwete 2010, bongo fleva zaidi' nadhani pale Lumumba bado watakuwa nazo, free of charge.
Asante sana Mwera kwa uthibitisho. Kwa wale wanaojua hesabu za viti maalum msaada plz, je viti maalum vitaongezeka? Kama jibu ' 'yes' tupe hesabu zinavyofanyika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.