Chama ni taasisi ambayo haitakiwi kutegemea mtu mmoja ktk kujiendesha kwake kwani huyu mtu naye hakuumbwa aishi milele,hivyo basi Chadema kikiwa makini kinaweza kumpata Katibu ambaye ni mtendaji mzuri na mahiri kuliko aliye kuwepo awali.
Utambue serikali za mitaa zina mamlaka ya kutunga sheria ndogondogo zenye kukidhi mahitaji ya jamii husika.Bure kwa nyakati hizi sahau, ni hewa tu utaipata bure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.