Recent content by Mdimi Mpina Mdendemi

  1. M

    Wilibrod Slaa: Katibu Mkuu adimu kuwahi kutokea CHADEMA

    Chama ni taasisi ambayo haitakiwi kutegemea mtu mmoja ktk kujiendesha kwake kwani huyu mtu naye hakuumbwa aishi milele,hivyo basi Chadema kikiwa makini kinaweza kumpata Katibu ambaye ni mtendaji mzuri na mahiri kuliko aliye kuwepo awali.
  2. M

    Mbeya: Serikali za mtaa yaagiza kila Mwanafunzi Tsh 15,000/= uandikishwaji darasa la kwanza

    Utambue serikali za mitaa zina mamlaka ya kutunga sheria ndogondogo zenye kukidhi mahitaji ya jamii husika.Bure kwa nyakati hizi sahau, ni hewa tu utaipata bure
Back
Top Bottom