Sijuai unazungumzia kiwango gani cha mafanikio lakini kwa msaada mfupi kama shida ni kujifunza jinsi gani wemefanikwa na "ups an down" zao itisheni kikao cha pamoja nao au fanyanao mahojiano ya one on one then ilete hapa tutapata picha ni jinsi gani wamefanikiwa.
Ahsante mzee
Kuna njia nyingene nzuri tu za kujifunza kwa watu walifanikiwa lakini sio hii unyofanya wewe hapa, kwanza hatutasikia chochote kutoka kwao ....please tafuta njia nyingine
unachoshindwa kujua ni kwamba JF sio chama cha siasa chenye malengo ya kuongoza nchi siku moja kama chadema, Hii ni forums ambayo watu wachache wamejitolea kwa moyo mmoja na hata wewe hujakatazwa kufanya hivyo, lakini Chadema ni chama cha siasa na kina katiba na dhumini la kuongoza nchi yetu...
Mkuu kitila,
sizani kama unajaua vizuri historia ya siasa ,cheo cha M/mwenyekiti wa chama ni kikubwa mno,na kitendo walichofanya CHADEMA kitawasumbua mno belive me or not kwa cheo alichokua nacho Wangwe siamini kama alikataa options nyingene kama za kujiuzuru na kama ni kweli alikataa basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.