Sheria za nchi hii zina ukakasi sana maana wahuni wanapita nazo humo humo
Huwezi kununua wala kuuza aridhi bila kupitia kwa watendaji wa mitaa na vijiji, na ndio wanaoshiriki kucheza michezo yote michafu ya utapeli wa kuuziana aridhi lakini hakuna hata mmoja aliyeshitakiwa achilia mbali...
Hapo kisheria kabisa mchakato mzima wa kuuza nyumba ulikua sio HALALI kwasababu makaka walifanya udanganyifu
Hapa ilitakiwa hao makaka wapambane na kosa la forgery na warudishe gharama zote kwa Mkinga
Mkinga akaona sana sana ataishia kuwafunga tu maana hiyo hela wlikwisha itumia na uwezo wa...
Haswa aridhi ya URITHI ndio inaongoza kwa migogoro
Demu wangu ana kaka zake wawili wajanja wa janja wa mjini pale magomeni, mama yake alikua mke wa kwanza akazaliwa yeye na alipo fariki akaolewa mwingine aliyezaa hao kaka zake.
Walimzunguka Wakafoji kikao cha ukoo wakateua msimamizi kisha...
Ukisoma comments za wananzengo unaweza kudhani wewe ni mtu mchafu sana kwa ku date nje ya ndoa kwa jinsi wananzengo walivyo waaminifu kweli kwenye ndoa zao 😂😂😂
Taratibu za Mirathi kwa ujumla zina anza na KIKAO CHA UKOO
Kikao cha ukoo kinahusisha mke/mume wa marehemu, watoto, wazazi wa marehemu na ndugu wa karibu wa marehemu na watu wengine muhimu wanye kujua kuhusu maremu nk
Ili kikao kiwe rasmi kitakua na mwenyekiti na katibu ambaye atahakikisha...
Mkuu wewe huwezi kufanya hivyo kisheria
Msaidie baba yako afungue malalamiko dhidi ya msimamizi wa mirathi
Na kama waligawana kienyeji basi likafunguliwe shauri rasmi la mirathi ili ateuliwe msimamizi atakaye simamia kugawa mali
Kisheria Mjukuu harithi mali iwapo watoto wa marehemu yupo
Mkuu hapo kwanza inabidi ujue kwa HAKIKA asili ya maeneo hayo
Inawezekana yalikua ni hifadhi ya serikali halafu watu wakavamia na kuanza kuuziana
Katika hali ya kawaida serikali haiwezi kupora eneo miliki ya watu wengine bila fidia
11 SUURAT HUD
37. Na unda jahazi mbele ya macho yetu na kwa mujibu wa ufunuo wetu. Wala usinisemeze kuwatetea walio dhulumu. Kwani hao bila ya shaka watazamishwa.
38. Na akawa anaunda jahazi, na kila wakipita wakuu wa kaumu yake wakimkejeli. Yeye akasema: Ikiwa nyinyi mnatukejeli na sisi...
Madame hebu nifafanulie hizi aya kuhusiana na Noah(Nuh)
Quran 11:36-37
Quran 11:40
Tofauti kubwa ninayo iona ni kwamba Quran haijataja mafuriko kama ni ya dunia nzima
Ila imetaja mafuriko kutokea, imeeleza kuhusu safina(Ark) na imefafanua kuhusu wanyama kuingia
Kama bado unaamini Mungu yupo basi hutumii logic kukubali uwepo wake.... unatumia IMANI
Kama una amini BIBILIA ni maneno MATAKATIFU ya Mungu utakua hutumii Logic utakua unatumia imani
Na ndio maana kujua Noah aliwaswagaje wanyama wale kuingia ndani ya safina hukutumia logic bali umetumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.