Samahani wadau, najua humu kuna wataalamu wa masuala ya magari. Ka.a mada inavyojieleza hapo juu.
Nina mpango wa kununua gari ndogo "sedan" na katika pitapita zangu kweye page ya Be Forward, nimekutana na gari aina ya JAGUAR XF ya mwaka 2011 na bei yake mpaka kufika bandari ya Dar es Salaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.