Miamba ya Tanzania Simba Yanga na Azam inaingiza Orodha hiyo katika nafasi ya kwanza Hadi ya Tatu huku nafasi ya nne ikishikwa na Tp Mazembe
Orodha kamili
1. Simba
2. yanga
3. Azam
4. Tp Mazembe
5. Vipers
6. Lupopo
7. DC motemapembe
8. APR
9. Kenya polisi
10. Namungo
11. Tanzania...
Sio vizuri kuwa na kaida katika lugha ya mazungumzo . Lugha sanifu inaweza kutumika katika maandishi na katika maandiko rasmi. Ukiongea Kama Kiswahili kinavyotakiwa kuandikwa utaongea Kama kingereza Cha watanzania they talk like a book Yani wazungu wanashangaa Sana😆 afu utakuta lijitu...
Tanzania Ni miongoni mwa nchi maskini huku wananchi wakiishi chini ya Dolla 1 huku kipato Cha wastani kikiwa hakizidi Dola 2.5 kwa siku. Nimuhimu kubana matumizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.