Mkuu kwa mtazamo wangu hiyo nyumba inatosha kabisaaa, Dunia imebadilika sana yale mambo ya vijana kukaa nyumba hadi miaka 25 au 30 yalishapitwa na muda sana , hivyo mie sioni sababu ya kujenga nyumba kubwa kwa sababu watoto wenyewe wanaanza mambo ya kujitegemea mapema ......unakutaka kijana yuko...
Kuna nyumba zinanyimwa mbao katika kupaua, mbao zinazobeba bati zimeachana distance kubwa sana... Japo mie siyo fundi ila ukisoma comment za mafundi wengi unaona ukubwa wa nyumba na idadi ya mbao hususani zinazobeba paa haviendani kabisaaa
Mambo vip, nyumba yako ina sq meter ngapi??
Hesabu yako haiko mabli na hesabu yangu japo ndo nimenunua bati 128 kwa 31,000/= Alaf na sasa nasaka mbao na nimekadria kuwa 2.4m na mengineyo nimeweka 600,000 labour charge ni 700,000/= location mwanza.. 12*12 area.
Kinachowagharimu ni uzuri wao kwenye selection zao za wanaume wa kuwa nao. Wanaamini kuwa uzuri wao wa sura na shepu pia ndo determinant factor ya mwanaume yupi awe nae na siyo BRAIN. Unakuta wanaangukia kwa mabrother men wenye maisha ya kuigiza kama vile kuazima gari, sasa demu akiona ST tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.